Viongozi wa pande zinazopingana Sudan, hawajaunda serikali ya mpito katika kipindi cha siku 90 kama ilivyokubaliwa mwezi wa 8.
Imesema mapigano yamekuwa yakiendelea kila siku na hali ya kibinadamu inazidi kuwa mbaya.
Maelfu ya watu wameuawa tangu Rais Salva Kiir na mpinzani wake Riek Machar walipovurugana Desemba mwaka 2013.
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imezitaka pande zote kushiriki mkutano wa kwanza wa pamoja utakaofanyika siku ya Jumamosi mjini Juba.
No comments:
Post a Comment