Klabu ya Manchester City itacheza bila wachezaji wake sita muhimu itakapokutana na Juventus.
''Tuna hali ngumu'', alisema meneja Manuel Pellegrini.''Ni mtihani wa kushinda katika uwanja wa timu ngumu''.
City inaiongoza Juventus kwa pointi moja kileleni mwa kundi Da na itathibitisha uwezo wake kama mshindi wa kundi hilo.
''Kila mtu ameikosoa klabu hii kuhusu mchezo wake barani Ulaya'',alisema Pellegrini kuhusu City,ambayo haijafuzu katika makundi ya timu 16 katika vilabu bingwa Ulaya.
Kwa hivyo ni muhimu kwetu kupata mafanikio miongoni mwao ikiwa kufuzu katika makundi ya timu 16.
No comments:
Post a Comment