Mshukiwa aliyeongoza mashambulio ya kigaidi mjini Paris Abdelhamid Abaaoud,alionekana akinywa pombe na kuvuta bangi na watu wengine nje ya nyumba yake baada ya mauaji hayo.
Shahidi mwengine aliliambia gazeti la Daily Mail nchini Uingereza :''Alikuwa barabarani na chupa ya pombe aina ya whiskey na aliniomba ninywe''.
''Niligundua kwamba alikuwa mtu wa iana gani baadaye''.
Abaaoud aliuawa wakati wa uvamizi wa polisi katika nyumba yake iliopo St. Denis siku ya Jumatano.
No comments:
Post a Comment