Barcelona wakiwa nyumbani wamechomoza na ushindi wa mabao 6-1 dhidi ya AS Roma katika mechi ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya.
THE SHIFTING SUN
Wednesday, 25 November 2015
KILIMANJARO STARS YACHANJA MBUGA CECAFA.
Michuano ya Cecafa iliendelea tena hapo jana kwa michezo miwili katika hatua ya makundi, Kilimanjaro Stars wakiandikisha ushindi mwingine.
2015 INAVIWANGO VYA JUU ZAIDI VYA JOTO DUNIANI.
2015 ndio mwaka uliorekodi viwango vya juu zaidi vya joto duniani.
WENGER:TUNA MATUMAINI YA KUFUZU.
Mkufunzi wa Arsenal Arsene Wenger ana imani kwamba klabu yake itafuzu katika kundi la vilabu 16 katika kombe la vilabu bingwa Ulaya baada ya kujiweka katika hali ya ushindi wa lazima dhidi ya Olympiakos.
WATOTO WANAOZALIWA WIKENDI HUFARIKI ZAIDI UK.
Watoto waliozaliwa wikendi iliopita nchini Uingereza wana hatari kubwa ya kufariki ikilinganishwa na wale waliozaliwa siku za juma,kulingana na watafiti.
Subscribe to:
Comments (Atom)